Heade

BARAZA LA CHUO KIKUU UDOM LIMEPITISHA SERA YA HAKI MILIKI ZA KITAALUMA




Baraza la chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) limepitisha sera ya haki miliki za kitaaluma ikiwa ni njia inayolenga kuwabana wezi wa kazi za kitaaluma , kuboresha utafiti na uvumbuzi kwa kutoa uhakika wa haki za watafiti.
Akizungumza katika mahafali ya 8 ya chuo hicho mwenyekiti wa baraza hilo Gaudensia Kabaka amesema sera hiyo itasaidia kuboresha utafiti na uvumbuzi kwa kutoa haki za watafiti,wanafunzi na wahisani.
Aaidha Kabaka amesema kupitishwa kwa mpango huo ni kukipandisha hadhi kituo cha afya cha Chuo hicho kuwa hospitali na utaratibu umeanza kuhakikisha azma hiyo inafikiwa.

No comments

Powered by Blogger.