Heade

TAKUKURU YABAINI UFUJAJI WA FEDA KATIKA MAZISHI YA MANDELA



Ni miaka minne imepita tangu kifo cha Hayati Nelson Mandela ambaye alikuwakiongozi mashuhuri duniani ambaye alifariki Desemba 5, 2013.

Hata hivyo inadaiwa kuwa mazishi yake yalikumbwa na ufisadi mkubwa ambao unadaiwa kutekelezwa na viongozi wakuu nchini humo.

Mamlaka ya kupambana na rushwa nchini humo imechapisha ripoti yenye kurasa 300, inayoonyesha jinsi gani urasibu mbaya na rushwa viligubika matayarisho ya mazishi ya Nelson Mandela.

Kulingana na ripoti ya Mamlaka ya kupambana na rushwa nchini humo takriban dola millioni 22 ilitumika vibaya wakati wa matayarisho ya mazishi ya Mandela miaka minne iliyopita.

No comments

Powered by Blogger.