Heade

ADHABU MPYA YATOLEWA KWA MADEREVA WANAOTUMIA VILEVYA NCHINI KENYA



Mamlaka ya usalama wa uchukuzi nchini Kenya NTSA imependekeza adhabu mpya kwa madereva watakao bainika kutumia vilevya wakati wa kazi .
Mamlaka hiyo imesema kuwa madereva watakao bainika kuwa wamelewa wakati wakiwa kazini watalazimika kufanya kazi katika vyumba vya kuhifadhia maiti ili kupunguza  ajali za  barabarani.
Mkurugenzi wa mamlaka hiyo Bw.Francis Meja amesema hawawezi kuvumilia madereva walevi wanao sababisha ajali na wanapo fikishwa mahakamani wanapewa adhabu hafifu.

No comments

Powered by Blogger.