Heade

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI ZA AFRIKA ZINAZOKUWA KIUCHUMI



Mkurugenzi wa uchumi wa  benki kuu ya Tanzania bwana Johnson Nyella amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi za afrika zenye viwango vya  juu vya ukuaji wa uchumi  katika kipindi cha muongo mmoja uliopita 2016/2017.
Amesema uchumi wa tanzania ulikuwa  kwa wastani wa asilimia 6.7 mwaka 2016 wakati pato la taifa lilikuwa  kwa wastani wa asilimia 7 sawa na ilivyo kuwa mwaka 2015 na 2014.
Ameyasema hayo wakati wa sherehe za siku ya  takwimu amabazo zilifanyika kitaifa jijini dar es salaam nakufafanua kuwa mfuko wa bei wa taifa umeendelea kupungua na kubaki katika kiwango cha tarakimu moja.

No comments

Powered by Blogger.