Heade

AIBUKA TENA BAADA YA KURIPOTIWA KUFARIKI DUNIA MIEZI SITA ILIYOPITA



Mtu mmoja ambaye anajulikana kwa jina la chausiku miligo ambaye alisadikika kufariki miezi6 iliyopita ameonekana akiwa hai mtaani kwake hali iliyo zua taharuki kwa familia yake na wananchi.
Akiongea na waandishi wa habari mwenye kiti wa mtaa wa mbugani bwana chales michael  amesema kuwa chausiku aliugua ghafra akiwa mjamzito nakupelekwa hospital ya mkoa seketure ambapo baada ya muda mfupi alifariki dunia .
bi chausiku baada ya  kuhojiwa na waandishi wa habari amesema kuwa alikuwa mkoani simiyu wilaya ya bariadi ambapo amemucha mtoto wake wa kiume.

No comments

Powered by Blogger.