Heade

MAMIA YA WANANCHI WAMEVAMIA SHAMBA LA GRACE MUGABE



Mamia ya wananchi kutoka katika kijiji cha mazowe nchini Zimbabwe wamelivamia shamba la Grace Mugabe kusheherekea kung’atuliwa mamlakani kiongozi huyo huku wakidai kuwa aliwanyanyasa na kuwafanya kuwa maskini kwa lengo la kuimarisha mali ya familia yake.
Wanakijiji wa mazowe wamekuwa katika mgogoro na kuzozana na familiya ya Mugabe kuhusu shamba la Arnold katika kijiji cha mazowe katika hatua hiyo wanadai kuwa wanaonyesha asante kwa wale waliofanikiwa kumng’oa Mugabe madarakani.
Robert Mugabe alijiuzulu siku ya jumanne hatua iliyozua kuendelea kwa sherehe kubwa miongoni mwa raia wa Taifa hilo

No comments

Powered by Blogger.