Heade

MARUFUKU TANESCO KUKATA UMEME BILA SABABU MAALUM



Naibu waziri wa nishati  mh Subira Mgalu amewagiza watendaji wa wa Tanesco kuhakikisha  kuwa hawakati umeme bila sababu maalum ili kuwaondolea wananchi adha ya kukosa nishati hiyo
Ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kukagua  mitambo ya umeme katika kituo  cha kipawa jijini Dar es salaaam na mradi wa TEDAP unaoshughulikia upanuzi  na ujenzi wa vituo vya kupozea umeme.
Amesisitiza kuwa umeme ukatike pale inapositahili na endapo tatizo limetokea kwenye mifumo ya umeme ni vyema kutoa taarifa mapema kwa wananchi.

No comments

Powered by Blogger.