Heade

SHULE YA MSINGI KIPANGA YAPOKEA MSAADA WA MABATI 60



Naibu waziri wa malisili na utalii mh Jafeti Masunga kupitia wizara yake wametoa msaada wa mabati 60 kwa ajili ya kuezekea madarasa ya shule ya msingi kipanga iliyoko kijiji cha ubwachana wilayani iringa mkoa wa iringa.
shule hiyo ya msingi iliezuliwa na upepo wa kimbunga na wiki mbili zilizo pita katokana na mvua zinazo endelea kunyesha maeneo mbalimbali ya nchi.
akikabidhi mabati hayo mh masunga amesema serikali inatambua mchango wa wananchi wanao ishi jirani na maeneo ya hifadhi kwenye uifadhi shirikishi hivyo nijukumu la serikali kuwaunga mkono pale wanapopatwa na majanga mbalimbali.


No comments

Powered by Blogger.