Heade

MH: RAIS MAGUFULI AMWANDIKIA WAZIRI MKUU WA CANADA BARUA



Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mh. JOHN pombe Magufu amemwandikia barua waziri mkuu wa Canada  akimtaka ashughulikie kwa haraka suala la ndege ya Bombandier  Q 400 inayo shikiliwa nchini humo.
ndege hiyo ni miongoni mwa ambazo mh rais aliahidi kununua ikiwa ni mikakati ya kulifufua shirika la ndege la Tanzania  ATCL .
 Mh. rais akizungumza katika uzinduzi wa uwanja wa ndege mjini bukoba  amesema licha ya kuandika barua kwa waziri mkuu wa canada amemtuma mwana sheria mkuu wa serikali  George Masaju  kwenda nchini humo kushughurikia swala hilo kisheria
Wakati huohuo mhe. rais ameamuru kukamatwa kwa watumishi watatu wa serikali kwa tuhuma za kuandika madai yasio halali yakiwa na lengo la kuiibia serikali

No comments

Powered by Blogger.