Heade

MKUU WA MKOA WA MOROGORO AMEPATA AJALI KATIKATIKA YA HIFADHI YA TAIFA YA MIKUMI USIKU WA KUAMKIA LEO

Usiku wa kuamkia leo Jumatano Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk Steven Kebwe amepata ajali katikati ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi baada ya gari lake kugonga nyati na kuharibika vibaya.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Urlich Matei amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kueleza kuwa taarifa kamili ataitoa mara baada ya uchunguzi kukamilika.

 Ndani ya gari hilo mbali na kuwepo mkuu wa mkoa pia aliambatana na mlinzi wake ambao wote kwa pamoja walitoka salama

No comments

Powered by Blogger.