Heade

RAILA ODINGA AREJEA NCHINI KENYA




Umati mkubwa wa wafuasi wa muungano wa upinzani nchini Kenya Nasa umejitokeza kumpokea kiongozi wao Raila Odinga katika sherehe zilizogeuka kuwa za vurugu,mabomu ya machozi na mapambano ya kukimbizana na polisi.
watu wawili wanadaiwa kufariki dunia baada na kinachosadikika kuwa ni risasi wakati polisi wakiwatawanya watu waliokua wanatembea kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA).
Licha ya ulinzi uliokuwepo na moshi wa mabomu ya machozi wafuasi wa Nasa wapatao 200 wakiwemo wanawake walifanikisha kupita utepe uliowekwa na vyombo vya usalama na kuingia hadi ndani ya uwanja.

No comments

Powered by Blogger.