Heade

RAIS TRUMP AFANYA ZIARA KOREA YA KUSINI



 Rais wa marekani Donald Trump amewasili korea ya kusini ikiwa ni sehemu ya ziara yake mashariki mwa Asia.
katika ziara hiyo Trump amemueleza rais  wa korea ya kusini Moon Jae-in kuwa kwake na kwa nchi ya marekani ni mtu mwema na hivyo watafanya kazi pamoja ili kushughurikia kitisho cha nyuklia kutoka korea kaskazini kwa nguvu ya pamoja.
Aidha  awali rais huyo wa marekani alieleza mbinu ya moon  jae in ambayo ni mbinu shikishi dhi ya korea kaskazini kama ya makubaliano na kwamba raia wa korea kusi walikuwa na wasi wasi na kauili za mabavu za rais Trump kuwa zingeweza kuifanya korea kaskazin ichukue hatua za kijeshi katika eneo hilo la ras.

No comments

Powered by Blogger.