Heade

WATU ZAIDI YA 3500 WAONDOLEWA KATIKA JUMBA LA MAIGIZO,KITUO CHA BIASHARA NA HOTELI YA METROPOL MJINI MOSCOW



Watu zaidi ya 3500 wameondolewa katika jumba la maigizo la Balkoi mjini moscow, kituo cha biashara na hoteli ya metropol baada ya irani ya bomu kutolewa .
kikosi cha usalama mjini  moscow kimetoa taarifa  baada kupokea taarifa  za kutegwa bomu eneo hilo. Baada ya taarifa hiyo kutolewa imesababisha hofu kubwa kwa raia jambo lililo pelekea kuondolewa  kwa watu katika maeneo hayo.
Aidha taadhari ya bomu katika maeneo zaidi ya 20 ilitolewa mjini moscow  suala ambalo limepelekea maafsa wa usala nchini humo kufany a kazi kwa taadhari kubwa

No comments

Powered by Blogger.