Heade

SERIKALI YA SAUD ARABIA YALALAMIKIA KITENDO KILICHOFANYWA NA IRAN



Jeshi la la ushirika linalo ongozwa na saudi arabia nchini Yemeni  limesema kuwa makombora yanayotumiwa na wanamgambo wa Houthis kutoka nchini Irani nitishio kwa saud arabia.
Serikali ya Saud Arabia imesema kuwa kitendo hicho cha irani ni ukiukwaji mkubwa wa sheria na ni tishio kubwa la moja kwa moja linalo lenga  ardhi ya  Saud Arabia huku ikisema taifa lao lina heshimu sheria za  kimataifa kwa hiyo wao kuijibu nchi hiyo kijeshi  haitakuwa jambo la busara.
Aidha siku mbili zilizo pita kundi la Anar Allah lilirusha makombora katika uawanja wa ndege wa Mji mkuu wa nchi hiyo Riyadhi jambo ambalo lilitafsiriwa na serikali ya  ya nchi hiyo kama dharau zilizo pita kiasi.

No comments

Powered by Blogger.