Heade

WALIOHAMISHA FADHA ZA SERIKALI WATAKIWA KURUDISHA



Rais mpya wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ametangaza msamaha wa miezi 3 kwa watu binafsi na kambuni  mbalimbali kuzisalimisha fedha za umma ambazo zimefichwa kinyume cha sheria nje ya nchi hiyo.

Amesema  waliohusika wanatakiwa kutumia fursa ya miezi 3 kurejesha fedha hizo na mali walizoficha kinyume na sheria ili kuepukana na aibu na kukubwa na mkono wa sheria.

Ameongeza kwamba serikali itawakamata na kuwafungulia mashtaka wale watakaokataa kutii agizo baada ya msamaha huo kumalizika ikiwa ni moja ya ahadi yake ya kupambana na rushwa.

No comments

Powered by Blogger.