Heade

WANNE WAUWAWA KWA SHAMBULIZI LA KUJITOA MHANGA AFGHANISTAN




Raia wanane wameuawa hii leo katika shambulizi la kujitoa muhanga lililofanyika katika jimbo la Nangarhar mashariki mwa Afghanistan.

 shirika la habari la dpa nchini humo limesema  kuwa watoto wawili ni miongoni  mwa  waliouawa . Shambulizi hilo limefanyika mbele ya nyumba ya kamanda wa zamani wa kikosi maalumu cha ulinzi nchini Afghanistan,

ALP wanasadikiwa kuhusika   katika  tukio , mji wa Jalalabad, ambao ni mji mkuu wa jimbo la Nangarhar. ALP ni kundi la wanamgambo wanaolipwa na waliopewa mafunzo na serikali ya Afghanistan kwa kushirikiana na Marekani ili kuweka ulinzi dhidi ya mashambulizi ya waasi wa Taliban katika vijiji na wilaya nchini humo.
 Hadi sasa hakuna kundi lililodai kuhusika na shambulizi hilo, ingawa katika kipindi cha miezi kadhaa kundi la Taliban limekuwa likijihusisha na mashambulizi dhidi ya vikosi vya usalama na watumishi wa serikali.

No comments

Powered by Blogger.